RUDISHA ACCOUNT ya FACEBOOK & INSTAGRAM iliyo IBIWA

 

`⚪ UMEPOTEZA ACCOUNT YA INSTAGRAM?`*


🍃Je wewe ni mmoja wa watu walioibiwa akaunti Instagram, kupoteza au kusahau taarifa muhimu za akaunti yako ? Unasumbuka vipi utaweza kuipata akaunti yako ? 


🍃Leo nakujuza njia rahisi ya kuweza kurudisha Instagram akaunti yako ikitokea umedukuliwa akaunti yako, imeibiwa, umepoteza taarifa muhimu kama vile password, namba za simu , email nk.


💫Labda akaunti yako ya Instagram mwanzoni ilikua fresh tu unatumia ila toka Simu uibiwe au kupoteza umepoteza taarifa zote muhimu. Lakin unajua Instagram unaweza kurudisha akaunti yako ikitokea imeibiwa u kupoteza taarifa muhimu.


💫Instagram Wana email yao inaitwa support@instagram.com ukiwa na changamoto yoyote kuhusu Instagram basi unaweza kuwasiliana nao kupitia Hiyo email na kuweza kupata msaada labda akaunti yako imeibiwa muhusika amebadilisha username, password.


✨Pia umepoteza email yako, namba za simu basi kupitia iyo email yao ya Instagram ambayo ni support@instagram.com  inabidi uwatumie maelezo kuhusu akaunti yako kwanini imepotea au sababu zilizopelekea mwizi kubadilisha password au email yako.


🪄Kisha Instagram wataweza kukujibu kwa kuweza kutatua changamoto kuanzia dakika 5 mpaka saa 24, siku mbili , tatu wiki hadi mwezi utaweza kuipata akaunti yako. Hakikisha tu una details muhimu kuhusu email yako kuanzia email, namba za simu pamoja na username.






`⚪JINSI YA KURUDISHA ACCOUNT ZA FACEBOOK ZILIZOIBIWA (Hacked)`


🍀Ingia katika link hapa chini kupitia Computer yako


https://facebook.com/hacked


🍀Jaza PSSWORD yako ya zamani ambayo ulikua unaitumia katika Account yako kabla ya kuibiwa kwa Account yako

🍀Hakikisha una Taarifa   zote za Account yako kwa mfano .Namba ya simu , Gmail au profile link


🍀Then fata maelezo hapo ili kurejesha Account 💯💯


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Ads

https://poawooptugroo.com/4/8869516

Below Post Ad